RAIS WA WAKAGUZI WA NDANI TANZANIA ATOA ZAWADI KWA MWENYEKITI WA BODI YA ZIAAT

POSTED ON: 15-05-2025

Rais wa Wakaguzi wa ndani Tanzania CPA Zelia o Njeza akimkabidhi zawadi ya kitabu Mwenyekiti wa Bodi ya ZIAAT CPA Juma Amour Mohammed leo tarehe 14 Mei, 2024 katika Mkutano Mkuu wa kwanza wa ZIAAT uliofanyika katika Ukumbi wa New Amaan Hotel Zanzibar